Taarifa ya Habari 27 Mei 2025 Podcast By  cover art

Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

Listen for free

View show details

About this listen

Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.
adbl_web_global_use_to_activate_T1_webcro805_stickypopup
No reviews yet