
5. Vitako Viwili vya Fedha na Ndimi Mbili kwa Kila Ubao wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-37)
Failed to add items
Sorry, we are unable to add the item because your shopping cart is already at capacity.
Add to Cart failed.
Please try again later
Add to Wish List failed.
Please try again later
Remove from wishlist failed.
Please try again later
Adding to library failed
Please try again
Follow podcast failed
Please try again
Unfollow podcast failed
Please try again
-
Narrated by:
-
By:
About this listen
Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
No reviews yet