• Taarifa ya Habari 27 Mei 2025
    May 27 2025
    Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.
    Show more Show less
    17 mins
  • Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole
    May 27 2025
    Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.
    Show more Show less
    9 mins
  • Taarifa ya Habari 26 Mei 2025
    May 26 2025
    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hatua ya Israel kuzuia msaada “hai kubaliki kabisa”. Israel ina ruhusu msaada mdogo wakibinadam kuingia Gaza, baada ya takriban miezi mitatu yaku izuia, hali iliyo sababisha uhaba wa chakula na matibabu.
    Show more Show less
    7 mins
  • UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC
    May 26 2025
    Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.
    Show more Show less
    7 mins
  • Taarifa ya Habari 22 Mei 2025
    May 22 2025
    Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.
    Show more Show less
    6 mins
  • SBS Learn Eng pod 84 Jinsi ya kuelezea uwezo wako waku kimbia (Med)
    May 22 2025
    Je, unajua jinsi ya kuzungumzia sifa zako za kukimbia au kufanya riadha?
    Show more Show less
    15 mins
  • Jinsi ya kufurahia maeneo ya nyika ya Australia kwa kuwajibika
    May 22 2025
    Mandhari yakupendaza na tofauti ya Australia, kuanzia pwani hadi jangwani na yote yaliyo katikati, ni nyumbani kwa mimea ya asili na wanyama wakushangaza.
    Show more Show less
    14 mins
  • Taarifa ya Habari 20 Mei 2025
    May 20 2025
    Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.
    Show more Show less
    18 mins
adbl_web_global_use_to_activate_T1_webcro805_stickypopup